Altri brani di Marioo
Altri brani di Bien
Descrizione
Autore: Mario
Autore: Bien
Produttore: Kanibal
Compositore: Marioo
Compositore: Bien
Testo e traduzione
Originale
Uuh-uuh, yeah, kutoka alooh
Mmh (it's Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
She's my number, ah, number, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Now she's my number, ah, number, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko lonely
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi' na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Oh, yeah, tushaoana
Ooh, alooh!
Traduzione italiana
Uuh-uuh, sì, kutoka alooh
Mmh (è Kaniba)
Nilikutana naye Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi, kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Lei è il mio numero, ah, numero, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Adesso lei è il mio numero, ah, numero, ah, moja
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
Tulipatana Bongo, Mikocheni
Spiaggia Niko Zangu Nala Upepo Wa Bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko solitario
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndio aje
Nataka moyo wangu ti svegli
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi'na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaoana na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaoana na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah
Oh, sì, tushaoana
Ooh, alooh!